Bahati – Dear Ex Lyrics

Dear Ex Lyrics – Bahati

Basi nifungue roho
Kwa yule wa before
Dear Ex…
Sitaki kurudia zamani
Nilikupenda sana
Ila haukuniona wa dhamani
Haukuniona wa dhamani
Sitaki kubonga mob
Nikurushie lawama
Ila roho yangu unaijua
Nilikupenda sana

Nilipokosa nisamehe
Ulipokosa nikusamehe
Na maisha yaendelee eeh
Nilipokosa nisamehe
Ulipokosa nikusamehe
Na maisha yaendelee eeh
Rafiki zangu wanaulizia, wanaulizia
Ndugu zangu wanaulizia, yule wa zamani
Haya mama anaulizia, anaulizia
Majirani wanaulizia, yule wa zamani
You never took your time to know me, time to know me
You never took your time to understand
You never took your time to know me, time to know me
The loving is all I had

Natamani siku zile, hisia zangu zinanikosea
Hata nikuone, ukiwa naye mi nawaombea
Natamani siku zile, hisia zangu zinanikosea
Hata nikuone, ukiwa naye mi nawaombea

Hata Jaguar anaulizia, anaulizia
Messesi anaulizia, yule wa zamani
Fleek Flavour anaulizia, anaulizia
Hata Diana anaulizia, yule wa zamani
I wanna let you know, know know
Wanna let you know
Never let you go, go go
Never let you go
I wanna let you know, know know
Wanna let you know
Never let you go, go go
Never let you go

Chibu Dangote anaulizia, anaulizia
Willy Paul anaulizia, yule wa zamani
Kioko anaulizia, anaulizia
Manager Wizz anaulizia, yule wa zamani
Teddy B anaulizia, Silvester anaulizia
Kwenye Beat anaulizia, yule wa zamani
Jalang’o anaulizia, Dj Moh anaulizia
Na mafans wanaulizia, yule wa zamani
Vanny Boy anaulizia, Mpasho anaulizia
Ni nani atawajibia?
Mama Mueni anaulizia
(Aha…Acha kutupima, hii nyimbo si ya dear Ex
Hii wimbo ni ya Ex )

YouTube video